Hippo Parish Mjimwema Songea

Karibu katika tovuti ya kanisa Anglikana Dayosisi ya Ruvuma, mtaa wa mtakatifu Agustino Hippo Parishi Mjimwema Songea,kwa mawasiliano SLP 600 Songea ,baruapepe ni hippoparish.mjimwema@gmail.com

Friday 29 July 2016

Siku ya kumsimika Askofu wa Dayosisi ya Ruvuma


Askofu  mkuu wa kanisa la Anglikana Tanzania Jacob Chimeledya akiwa katika maandamano ya kumsimika Askofu wa nne wa Dayosisi ya Ruvuma Mhashamu Raphael Haule katika kanisa kuu la Msalaba mtakatifu Liuli Nyasa mkoa wa Ruvuma.

No comments:

Post a Comment