Hippo Parish Mjimwema Songea

Karibu katika tovuti ya kanisa Anglikana Dayosisi ya Ruvuma, mtaa wa mtakatifu Agustino Hippo Parishi Mjimwema Songea,kwa mawasiliano SLP 600 Songea ,baruapepe ni hippoparish.mjimwema@gmail.com

Friday 29 July 2016

Askofu wa Dayosisi ya Ruvuma akisani Hati ya kuwa Askofu

Askofu wa nne wa Dayosisi ya Ruvuma  mhashamu Raphael Haule akisaini Hati ya kukubali kuwa Askofu wa Ruvuma mbele ya msajili wa jimbo profesa John Kabudi Mpalamagamba katika kanisa kuu la Dayosisi ya Ruvuma Liuli.

No comments:

Post a Comment